Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Monday, November 1, 2010

Vincent Nyerere ashinda Ubunge Musoma Mjini



Vincent NyerereTaarifa hii inatoka kwenye blogu ya Madaraka Nyerere akisema kuwa,

Taarifa rasmi iliyotangazwa na msimamizi wa uchaguzi wa Musoma Mjini, saa 11:30 alfajiri hii, imethibitisha ushindi wa Vincent Nyerere wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwa mbunge mpya baada ya kumshinda aliyekuwa mbunge, Vedasto Mathayo Manyinyi wa Chama cha Mapinduzi (CCM).

Matokeo rasmi ni haya:

Vincent Nyerere (CHADEMA) -------------------------- 21,335 (56.71%)
Vedasto Mathayo Manyinyi (CCM) --------------------14,072 (39.38%)
Mustapha Juma Wandwi (Civic United Front) -----------253 (0.71%)
Chrisant Ndege Nyakitita (Democratic Party) -------------53 (0.15%)
Tabu Saidi Machibya (NCCR - Mageuzi)---------------------19 (0.05%


from: http://www.wavuti.com/habari.html#ixzz140EemPXE

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA ALIVYOPIGA KURA KIJIJINI KWAKE KIBAONI!!



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipiga kura kwenye kituo cha uchaguzi kijijini kwake, Kibaoni, Katavi Oktoba 31, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

a href="http://2.bp.blogspot.com/_Xo6k8kXBJ3M/TM4-2iGjkeI/AAAAAAAAB_E/-JoNkGABnpc/s1600/p+026.jpg">
Mke wa Waziri Mkuu. MamaTunu Pinda akipiga kura kwenye ituo cha Uchaguzi kijijini Kibaoni, Katavi, Oktba 31, 2010. (Picha na Ofisi ya WAziri Mkuu)

Huduma ya Vodafone M-PESA yaongoza kimataifa

Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania imetajwa kuwa ni kampuni bora kwa utumaji wa fedha ulimwenguni kupitia huduma yake ya Vodafone M-Pesa.
Taarifa hiyo ilitolewa ilitolewa wakati wa maonyesho ya kwanza yanaohusu huduma za utumaji pesa kwa njia ya simu za mkononi yaliyofanyika Dubai tarehe 25 mwezi huu.



Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Dietlof Mare alisema taarifa hiyo iliyopatikana wakati wa maonyesho hayo imeipa faraja kampuni yake .



“Taarifa hiyo inatambua mchango na viwango vya huduma zetu kwa wateja pia , alisema Mkurugenzi hiyo

Bw. Mare alisema kwamba Kampuni hiyo haitabweteka kwa sababu imepata heshima hiyo kubwa Ulimwenguni kwa wa watoaji kwa huduma na bidhaa bora na badala yake itaboresha huduma zake.



Hivi karibuni kampuni hiyo ilishinda tunzo ya Chapa Bora kwa Afrika Mashariki , ili kushinda tunzo hiyo vigezo mbalimbali huzingatiwa ikiwamo unora wa bidhaa.



Bw. Mare aliwashukuru wateja wote wa Vodacom kwa uaminifu wao na kuwahakikishia kwamba wataendelea kuwapatia huduma bora wateja wake ili waweze kukata kiu yao ya mawasiliano na sanjari na huduma mbalimbali zinazotolewa na kampuni hiyo.



“Tutaendelea kuwapatia wateja wetu huduma bora ambazo zitakidhi kiu yao ya mwasiliano lakini katika hali ambayo wataimudu na yenye manufaa kwao,”



Vodafone M-PESA, ni njia rahisi ya utumaji pesa kwa njia ya simu za mkononi, njia hi ilizinduliwa rasmi mwaka 2008, kwa hapa nchini huduma hiyo imekubalika na inatumiwa na Watanzania wengi.


Wateja wa Vodafone-MPESA sasa wanaweza kulipia huduma mbalimbali kama vile LUKU, bili za Dawasco, kuongeza muda wa maongezi, kutuma na kupokea fedha kwenda mtandao wowote hapa nchini na kulipa ada za wanafunzi.



Hadi sasa huduma hiyo ina wateja zaidi ya milioni 5.4 waliojisajili sajiliwa katika huduma, huku kila mwezi wateja wapya 500,000 wakisajiliwa.



Hivi sasa zaidi ya shilingi bilioni mia sita 600 zimeshatumwa kupitia mtandao huo huku idadi ya mawakala ikiwa ni 5000 nchini kote

BRAZIL ELECTS ITS FIRST WOMEN PRESIDENT!


Ms Rousseff had 55.8% of the votes against 44.2% for centrist candidate Serra with more than 97% of the total counted.

She will be sworn in as President on January 1 next year.

Ms Rousseff, 62, a career civil servant who has never held an elected office before, was bolstered by the support of President Luiz Inacio Lula da Silva.

As polls opened, Ms Rousseff paid tribute to Mr Lula, and assured Brazilians that while he would not have an official role in her government, he would always be near.

"President Lula, obviously, won't be a presence within my cabinet," she said at a final campaign stop in her hometown of Belo Horizonte.

"But I will always talk with the president and I will have a very close and strong relationship with him.

"Nobody in this country will separate me from President Lula."

Ms Rousseff pledged to continue Mr Lula's popular social programmes which have helped take 20 million Brazilians out of poverty since he took office in 2003.

With about 135 million voters, Brazil's powerful economy has helped it achieve an important position as a key emerging nation.

Latin America's largest country is also a world leader in bio-fuel development, while simultaneously working to develop massive deepwater oil fields.

Ms Rousseff will lead a nation due to host the 2014 World Cup and the 2016 Summer Olympics, by which time it is expected to be the globe's fifth-largest economy.

"I want to unite Brazil around a project not just of material development, but also of values," she said.

"When we win an election, we must govern for all Brazilians without exception."

Mr Serra, 68, is a former governor of Sao Paulo state and one-time national health minister who was heavily defeated by Mr Lula in the 2002 presidential election.


For more news visit: www.skynews.com