
Pichani ni Salomon Kalou wa Chelsea akiwa amepigwa ngwara safi na Walter Samuel wa Intermillan. Inter iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya chelsea. Wababe hawa wa kandanda watakutana katika mechi ya marudiano huko Stamford Bridge tarehe 16 march.
golden goose shoes sale
ReplyDeletegoyard bag
golden goose sale