
Marafiki a.k.a Mashosti Wapendwa wa Da'Zena wakiwa wamepozi katika picha ya pamoja leo jioni maeneo ya Sinza,jijini Dar walipokwenda kumpa hongera ya kujaaliwa kupata mtoto wa kike aitwaye Fatina.Kutoka kushoto ni Anti Mwanjaa a.k.a Mwanji,Da' Hanifa Mati a.k.a Hanifa Bonge pamoja na Da' Fatma Kasim a.k.a Fatma Kili.

Da' Zena akipewa hongera na zawadi tele kutoka Mama mdogo aitwaye Salma Kili na kupata picha ya ukumbusho kwa pamoja.
No comments:
Post a Comment