Huyu ndiye Irene a.k.a ndikumana anayetesa katika filamu mbalimbali za RJ company inayomilikiwa na ray na johari hivi karibuni watatoa filamu yao inayokwenda kwa jina la pretty girl hivyo basi nawaonjesheni wadau wangu japo kidogo tu baadhi ya picha au madoido yaliyo kwenye movie hiyo wadau wangu yani hata mie natamani kuiona hebu rj company fanyeni tu haraka jamani muitoe hiyo filamu basi!

Akiwa mbele ya JEEP

Unaniona?


Ni kweli PRETTY?

Ndani ya bustani

Msubiri umuone alivyoharibu mbaya katika PRETTY GIRL
No comments:
Post a Comment