
Kamanda Msika akiongea na waandishi wa Habari.
Lori lililosababisha vifo vya watu 11, katika eneo la Kibamba jijini Dar es Salaam juzi amekamatwa, polisi wamemtaja mmiliki huyo kuwa ni Mahamoud Mohamed, na inasemekana amekuwa hatoi ushirikiano wa dhati ambao ungewezesha kukamawta kwa Dereva Kudra Adam, anayetuhumiwa kusababisha ajali hiyo. Kamanda wa kikosi cha Barabarani, Mo-hamed Mpinga, alisema; ‘Huyo jamaa tumemkamata leo, anakua anasitasita kutupatia ushirikiano ili tuweze kumpata dereva wa basi hilo,nachukua nafasi hii kuwahakikishia ni lazima tumkamate na hatutamuachia huyu mmiliki mpaka Dereva apatikane;alisema Kamanda Msika Jana.
No comments:
Post a Comment