Ndege hizi za drones huongozwa na marubani ambao hubakia ardhini; na pamoja na mafanikio yake makubwa katika vita vya Iraq, Afghanistan na Pakistan, mara nyingi pia zimekosea shabaha na kusababisha maafa makubwa kwa raia.
Inavyoonekana Wamarekani hawataki kupeleka wanajeshi wao katika uwanja wa mapambano huko Mogadishu. Pengine bado wanakumbuka kisa cha mwaka 1993 ambapo wanajeshi wake 18 waliuawa na hatimaye kuwafanya wafungashe virago kwa haraka haraka na kuondoka.
Naamini kwamba tatizo la Somalia ni letu Waafrika na kama kweli tungekuwa na nia ya dhati la kulitatua tungeweza


Rubani aliyeko ardhini akiwa anaendesha ndege hizo
No comments:
Post a Comment