
Kijana mmoja mtanashati a.k.a brotherman wa nguvu, leo amegombaniwa kama mpira wa kona baada ya kushindwa kulipa nauli ya Sh. 250 tu, kwenye Dalalada linalofanya safari zake kati ya Tandika na Mwenge Jijini Dar es Salaam. Tozi huyo ambaye alilipuka viwalo vya maana...
Tozi huyo ambaye alilipuka viwalo vya maana alijaribu kutaka kushuka katika kituo cha mabasi Karume Ilala, lakini aliwekewa ngumu na kondakta na kurejeshwa ndani ya basi kwa nguvu kisha kupelekwa hadi Mwenge na kuachwa kituoni ili atafute usafiri wa kurudia.
No comments:
Post a Comment