Alfred alitunukiwa zawadi mbili. Ya kwanza ni kuwa bora na ya pili ni kuiwakilisha vyema katika makongamano mbali ya kielimu baina ya vyuo mbali mbali Mysore. Sherehe Hii ya Somani Sambram hufanyika kila mwaka na kuwatuza wanafunzi waliofanya vizuri.
Mdau Alfred akiwa na mwalimu wake pamoja na washindi wa pili na wa tatu
No comments:
Post a Comment