Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Tuesday, October 12, 2010

JK Akiwa Mbinga







1. Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)
Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na mtoto mlemavu Maria Chiwinga muda
mfupi baada ya kuwasili mjini Mbinga jana ambapo aliwahutubia wananchi
katika mkutano mkubwa wa kampeni.Dr.Kikwete aliahidi kumpatia mlemavu
huyo msaada ili aweze kuendelea vyema na masomo yake.

2.Wananchi wa mji wa Mbinga wakimkaribisha kwa ngoma mgombea
urais kwa tiketi ya CCM Dr.Jakaya Mrisho Kikwete alipowasili mjini
hapo na kufanya mkutano mkubwa wa kampeni.

3. Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akimnadi mgombea ubunge jimbo
la Peramiho Jenister Mhagama wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika
katika kata mpya ya Mtyangimbole, jimbo la Peramiho mkoani Ruvuma jana

No comments:

Post a Comment