wapendwa wa blog yenu ya umbea.com inawaomba radhi wadau wake wote kwa kipindi chote tulichokuwa hutuwapi yale yanayojiri kona zote za dunia hii nikutokana na kijana wenu kuwa sehemu ambayo haikuwa na net hivyo basi kuanzia jmosi ya week ijayo yaani tarehe 07\08\2010 mambo yataanza tena kama kawaida wadau wetu.KARIBUNI SANA
No comments:
Post a Comment