Habari mbalimbali toka pande za bongo bila kusahau matukio mbalimbali yanayorindima pande zote za dunia
Psquare Ft. J.Martins- E No Easy
Monday, July 5, 2010
WIMBI la askari wa Jeshi la Polisi kujiua, limeendelea kushika kasi baada ya askari wa kike WP Suzana, aliyekuwa amepangiwa kuzuia magari ili msafara
Marafiki a.k.a Mashosti Wapendwa wa Da'Zena wakiwa wamepozi katika picha ya pamoja leo jioni maeneo ya Sinza,jijini Dar walipokwenda kumpa hongera ya kujaaliwa kupata mtoto wa kike aitwaye Fatina.Kutoka kushoto ni Anti Mwanjaa a.k.a Mwanji,Da' Hanifa Mati a.k.a Hanifa Bonge pamoja na Da' Fatma Kasim a.k.a Fatma Kili.
Da' Zena akipewa hongera na zawadi tele kutoka Mama mdogo aitwaye Salma Kili na kupata picha ya ukumbusho kwa pamoja.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment