Pichani ni President wa America akiangua kicheko baada ya kucheki baadhi ya vitimbi vya wabongo. Tulipata kazi sana kuipata picha hii, ilitubidi tutumie njia za ukachero na hatimaye tulifanikiwa, hii yote ni kwasababu tunapenda wadau wetu mfurahi na mjue matukio yote yanayojiri katika dunia hii.
No comments:
Post a Comment