Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Saturday, February 27, 2010

WALAZAMISHWA KUFUNGA NDOA NA MBUZI


“Mmoja alikuwa amevua nguo zote na alikuwa amemshikilia mbuzi kichwani wakati mwingine akiendelea kumuingilia kwa nguvu,” aliongea shuhuda wa tukio hilo, Mario Creva wakati akihojiwa na Radio Mozambique.

Mmiliki wa mbuzi aliyefanyiwa kitendo hicho amedai mahakamani kuwa anachokitaka ni kwa watuhumiwa hao kumlipa fidia kwa kumsababishia maumivu mbuzi wake na pia kulipa mahari tayari kwa sherehe ya ndoa ya kimila kati ya vijana hao na mbuzi wake.

Mwendesha mashtaka wa wilaya, Bwana Leonides Mapasse alitoa ufafanuzi kuwa vijana hao watakabiliwa na shtaka la kuiba mbuzi na kumfanyia ukatili kinyume na haki za kimataifa za wanyama, na endapo watapatikana na hatia watahukumiwa kulingana na sheria.

No comments:

Post a Comment