Habari mbalimbali toka pande za bongo bila kusahau matukio mbalimbali yanayorindima pande zote za dunia
Psquare Ft. J.Martins- E No Easy
Sunday, February 28, 2010
HUYU NDIE MTANZANIA ALIEPATA MCHONGO WA KURECORD NA AKON
Mwanadada Sarafina mmoja kati ya waafrika watatu tu waliopata bahati ya kuchaguliwa kutoka africa na kurecord ngoma pamoja na video ya nyimbo akon aliyoitengeza kwa ajili ya world cup akiwa na kerry hilson inayoitwa OOH AFRICA.ukiangalia vizuri video hiyo utamuona akiwa amechorwa bendera ya Tanzania.sarafina alipata nafasi ya kuingiza back vocal ya ngoma hiyo.kama humfahamu sarafina alishawahi kushiiriki katika bongo star search mwaka jana lakini hakufanikiwa kuingia kumi bora.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment