Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Friday, February 26, 2010

HUKUMU YA LILWAYNE YAAHIRISHWA


Rapper Maarufu Dwayne Carter a.k.a LilWayne or the Best Rapper Alive alituhumiwa kumiliki silaha kinyume na sheria baada ya bunduki za kutosha kukutwa katika nyumba yake pamoja na Tour Bus yake. Rapper huyo alikubali makosa na hivi juzi alifika mahakamani na kunyamaza kimya kama mtu aliyemwagiwa maji ya baridi. Wakili wake alimtetea kwa kudai kwamba Lilwayne alikuwa akisumbuliwa na matatizo ya meno yaliyompa maumivu makali kiasi cha kushindwa kuongea. Kwasababu hiyo, kesi yake imesogezwa mpaka march 2 mwaka huu ambapo hukumu yake itapitishwa.

No comments:

Post a Comment