Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Thursday, February 25, 2010

MATUMAINI YA OWEN KUCHEZEA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND YAFIFIA


Mshambuliaji wa Manchester United Michael Owen.


Mshambuliaji wa timu ya Manchester United Michael Owen ameondoa matumaini ya kuwemo katika kikosi cha England cha kuwania Kombe la dunia mwaka huu.
Owen, mwenye umri wa miaka 30, ambaye alifunga mabao 40 katika michezo 89 aliyowahi kuichezea England, mara ya mwisho kuichezea timu ya taifa ilikuwa mwezi wa Machi mwaka 2008.
Meneja wa England Fabio Capello amesema wachezaji ni lazima wawe wanacheza mara kwa mara katika kikosi cha kwanza katika timu zao, lakini Owen bado hajachomoza zaidi katika kikosi cha kwanza cha Manchester United.

No comments:

Post a Comment