Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Friday, February 26, 2010

MHESHIMIWA KIKWETE AREJEA BONGO


Pichani ni Mheshimiwa Rais kikwete katika Uwanja wa Ndege wa Kimatifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mara baada ya kuwasili kutoka nje ya nchi ambapo alikuwa katika ziara ya kikazi Mashariki ya Kati.Pembeni yake ni mkuu wa mkoa wa Daresalaam na Mheshimiwa Kingunge Ngombale Mwilu

No comments:

Post a Comment