Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Friday, February 26, 2010

JAMANI NANI ALAUMIWE NANI KATI YA SERIKALI NA MZAZI WA MTOTO HUYU!


Hii ni hali ya kusikitisha kwa mtoto kama huyu kukutwa anafanya biashara ya kuchoma mahindi na ilikuwa ni muda wake binafsi waku wa shule je nina alaumiwe kati ya mzazi au serikali wewe ukiwa kama mdau tunaomba mchango wako ili tuweze kuwanusuru watoto kama hawa!

No comments:

Post a Comment