Hii ni hali ya kusikitisha kwa mtoto kama huyu kukutwa anafanya biashara ya kuchoma mahindi na ilikuwa ni muda wake binafsi waku wa shule je nina alaumiwe kati ya mzazi au serikali wewe ukiwa kama mdau tunaomba mchango wako ili tuweze kuwanusuru watoto kama hawa!
No comments:
Post a Comment