Watoto wa mitaani wanaoishi katika mazingira magumu wakiwa wamelala nje ya jengo la PPF Tower leo asubuhi.Watoto hawa mara nyingi sana muda kama huo ndio wanakuwa katika mihangaiko yao ya kutafuta riziki lakini leo hii muda huu wamelala,sasa sijui ni kutokana na kukosa msaada kutokana na ile issue ya Manyoya??
No comments:
Post a Comment