Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Tuesday, August 24, 2010

AJALI MBAYA ILIYOTOKEA ASUBUHI MAENEO YA SHEKILANGO!!


Wakazi wa jijini wakiangalia gari namba T 729 BFD aina ya Fiati likiwa lililopinduka baada ya kugongana na gari lingine aina ya Fuso lililokuwa limebeba nyanya katika makutano ya barabara ya Morogoro na ile inayotoka Sinza maeneo ya shekilango Dar es Salaam asubuhi leo. Katika ajali hiyo dereva wa fuso na kondakta wake walifariki papo hapo na wale waliokuwepo katika Fiati wamejeruhiwa na kukimbizwa katika Hospitali ya taifa ya Muhimbili.

No comments:

Post a Comment