Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Thursday, August 19, 2010

JK Akabidhi Tamko La Kisheria


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi Jaji Mkuu Agostino Ramadhani tamko la kisheria linalothibitisha usahihi wa taarifa alizotoa kwenye fomu ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ofisini kwa Jaji mkuu jijini Dar es Salaam jana asubuhi.Anayeshuhudia kulia ni mgombea mwenza Dr.Mohamed Gharib Bilal.

No comments:

Post a Comment