Habari mbalimbali toka pande za bongo bila kusahau matukio mbalimbali yanayorindima pande zote za dunia
Psquare Ft. J.Martins- E No Easy
Monday, August 16, 2010
NAWATAKIA RAMADHANI NJEMA NDUGU ZANGU WAISLAM
Waislam duniani wameuanza mwezi mtukufu wa Ramadhan ikiwa ni mojawapo ya nguzo tano katika uislam.Nawatakia kila la kheri katika mwezi huu wa toba nawaombea kwa mungu wafunge salama na mungu awabariki sana. Ramadhan kareem
No comments:
Post a Comment