Baba,Mama na Mtoto wakiwa katika pikipiki yao kwa staili ya kichina china,sasa sijui inakuwaje katika swala zima la kiusalama.maana huyo dereva anaonekana ni mwanafunzi kutokana na hiyo alama hapo nyuma,pili hicho kiti hapo nyuma kilichokaliwa na mtoto,tatu wao wazazi wamevaa kofia za kiusalama na mtoto amepozi kimpango wake.daah hii kweli bongo daslam
No comments:
Post a Comment