Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Saturday, September 4, 2010

AKUTWA AMEKUFA KWENYE BANDA LA MAMA LISHE!


Askari Kanzu wa Kituo Cha Chang'ombe jijini,wakiwa wameubeba mwili wa kijana ambaye hakufahamika, uliokutwa, katika banda la mama lishe, maeneo ya Sokota, Dar es Salaam , chanzo cha kifo chake hakikufahamika.(PICHA NA DOTTO MWAIBALE)

No comments:

Post a Comment