Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Tuesday, September 7, 2010

JAMANI DADA ZETU MNAAIBISHA MAMA ZETU WAPENDWA!!


Hii picha nimetumiwa na mdau wa blogu hii ya umbea.com akiwashutumu kina dada zetu juu ya tabia zao za kwenda kwenye starehe pasipo kuvaa hata nguo za ndani kiukweli baada ya kulewa matokeo yake ni kama haya kujiachia mbele za watu na watu kula kideo mfano mzuri mcheki huyo jamaa picha anavyokodoa macho.je wadau nani wakulaumiwa hapa!!

No comments:

Post a Comment