Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Wednesday, September 8, 2010

Msuba. Ganja. Bangi. Marijuana. Jani. Hashish. Charas.

Cpl Ryan Belgrave with the Canadian Army's 1st Battalion, The Royal Canadian Regiment Battle Group, walks through a field of marijuana plants during a patrol near the village of Salavat, in the Panjway district west of Kandahar on August 4, 2010. (REUTERS/Bob Strong)
Picha, hii inawakilisha sehemu ndogo sana tu ya mashamba yote ya bangi yaliyomo nchini Afghanistan.

Ukitaka kusoma matumizi ya bangi kwa ajili ya matibabu,

Hayo ni majina kadhaa yaliyopewa mmea wa 'bangi' ambao unahesabiwa kuwa mojawapo ya madawa ya kulevya ingawaje wengine husema kuwa majani yake ni mboga ya kawaida tu kwa ugali isiyo na madhara.

Hadi kufikia mwezi Machi 2010, takwimu zilizoripotiwa na Umoja wa Mataifa zinasema kuwa Afghanistan ndiyo nchi inayoongoza duniani kwa kilimo na uzalishaji wa mmea wa bangi ambapo nusu ya majibo yote 34 ya nchini humo hujishughulisha na kilimo cha mmea huo ambapo inakadiriwa kuwa hekta moja huzalisha kilo 145 ya bangi tofauti na kilo 40 zinazozalishwa kwa ukubwa wa eneo ilo hilo huko Morocco. Inakadiriwa pia kuwa kiasi cha dola za Kimarekani $3,900 hupatikana katika mauzo ya hekta moja ya bangi.


No comments:

Post a Comment