Michuzi (katikati) akiwa na kamanda wa FFU mkoa wa Iringa Said Mnunka( kushoto) na kamanda wa polisi wa mkoa wa Iringa (ACP) Evarist Mangalla ,Michuzi amekutana na makamanda hawa leo nyumbani kwa aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa mzee Tasili Mgoda. (Picha: Francis Godwin, Iringa.)
No comments:
Post a Comment