Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Jakaya Kikwete, akimnadi mgombea ubunge jimbo la Monduli mkoani Arusha, Edward Lowasa, kwa wapiga kura wa jimbo hilo wakati wa mkutano wa kampeni jana jioni.
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dr.Jakaya Kikwete, akihutubia wananchi wa jimbo la Monduli mkoani Arusha jana jioni.
No comments:
Post a Comment