Habari mbalimbali toka pande za bongo bila kusahau matukio mbalimbali yanayorindima pande zote za dunia
Psquare Ft. J.Martins- E No Easy
Thursday, September 23, 2010
Neno La Leo: Degedege Si Ugonjwa Wa Watoto Tu
Na Maggid Mjengwa,
KWA kawaida degedege ni ugonjwa wa watoto. Dalili zake ni mtoto kupandwa na homa na mwili kutetemeka . Ni ugonjwa wa hatari sana. Utotoni tuliamini, kuwa ukiugua degedege, basi, hutaugua tena ukubwani.
Kumbe, kuna degedege la ukubwani pia, hususan kwenye masuala ya siasa na kampeni za uchaguzi kama hizi za sasa. Nilipata kuandika, kuwa siku hizi kila asubuhi ni burudani kusoma baadhi ya vichwa vya habari magazetini au kuangalia habari za kwenye runinga na kusikiliza redio. Kila kukicha kuna kituko kipya Afrika, ilipatwa kusemwa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment