Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Friday, September 17, 2010

Nakaaya Sumari aikacha CHADEMA, ajiunga CCM!


Mwanamuziki wa kizazi kipya nchini ambaye alikuwa Mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Arusha, Nakaaya Sumari, jioni hii ametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Nakaaya katangaza hayo jioni hii mbele ya mgombea urais wa CCM,Dr. Jakaya Kikwete katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha wakati wa mkutano wa kampeni za Wilaya ya Arumeru

No comments:

Post a Comment