Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Wednesday, September 22, 2010

PARIS HILTON ADUWAA KUPIGWA STOP JAPAN….!!!!


Kutokana na habari zilizo tolewa na kituo maarufu cha Cnn ni kwamba mwanadada huyo marufu na mtoto wa mmiliki wa mahotel ya Hilton amepigwa STOP kuingia nchini humo. Na sababu kubwa ni kutokana na tuhuma zinazomkabili za kukutwa na madawa ya kulevya huko nchini Paris na hata huko nchini kwake Marekani katika jiji la Las vegas.

“Alikuwa anataka kuingia Japani kwa ajili ya maswala yake ya kibiashara sana sana katika upande wa kuifanyia masoko lebo yake inayotumika katika bidhaa zake kama manukato” alisema msemaji wake. Mwanadada huyu alikamatwa kwa kosa la umulikaji wa madawa ya kulevya na kumtishia polisi ambapo kosa la kumiliki madawa lilifutwa na kupewa adhabu ya kulipa faini dola 2,000 na kufanya shughuli za kijamii kwa masaa 200.

No comments:

Post a Comment