Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Wednesday, June 16, 2010

MBAGALA HATA KAMA GARI TUPU LAZIMA ABIRIA WAKE WAINGILIE MADIRISHANI


Abiria wa Mbagala jijini Dar es Salaam wakigombea kuingia katika daladala eneo la Kariakoo leo jioni ,daladala ambayo hata hivyo haikuwa imejaza abiria , abiria hawa na Mbagala wamezoea kusukumana na kuingilia madirishani katika daladala hata kama daladala husika haijajaza abiria kwani ukiwa mkazi wa Mbagala lazima uwe na mbio za kufukuza daladala na uwe shapu wa kutumia nguvu kuingia mlangoni mwa daladala

No comments:

Post a Comment