Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Wednesday, June 16, 2010

MWAKALEBELA AELEZA MIKAKATI YAKE YA KIMAENDELEO IWAPO ATAMPOKEA MBEGA UBUNGE JIMBO LA IRINGA





KATIBU mkuu wa shirikisho la soka Tanzania Frederick Mwakalebela asema anagombea ubunge jimbo la Iringa mjini ili kumpokea mbunge wa sasa Monica Mbega(CCM) katika mchakato wa kufanikisha maendeleo ya jimbo hilo kama nilivyo fanya ndani ya TFF kwa kipindi kifupi cha uongozi wangu .

Mwakalebela aliyasema hayo leo nyumbani kwake Wilolesi mjini Iringa wakati akitangaza azma yake na sababu za yeye kugombea ubunge jimbo hilo mbele ya waandishi wa habari na wazee wa mji wa Iringa .

Alisema kuwa katika kampeni zake za kuwania nafasi hiyo kamwe hatajaribu kumsema vibaya mgombea mwenzake ndani ya CCM na nje ya CCM kwani amedai kuwa lengo la wagombea wote wa CCM na wale wa upinzani ni kujenga nyumba imara ndani ya jimbo hilo hivyo haoni sababu ya kugombea fito ama kuendesha kampeni chafu za kupakana matope.

Zaidi soma Tanzania Daima kesho ama tembelea http://www.matukiodaima.blogspot.com/ na http://www.mtotobaraka.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment