Habari mbalimbali toka pande za bongo bila kusahau matukio mbalimbali yanayorindima pande zote za dunia
Psquare Ft. J.Martins- E No Easy
Tuesday, April 6, 2010
Anayetaka Dola milioni moja aonyeshe kipele chochote usoni mwangu
Mwanadada Alicia Keys anasifika kuwa miongoni mwa kinada warembo duniani. Hivi majuzi aliudhiwa na kauli ya dada mmoja aliyesema kwamba Alicia keys hana uzuri wowote bali vipodozi vinamsaidia. Alicia Alijibu kwa kumuambia kwamba, 'Naenda kuosha uso wangu kisha narudi unionyeshe kipele chochote utakachokiona kwenye uso wangu, ukifanikiwa nitakupa cheque ya dola milioni moja hapahapa. Dada huyo alikagua uso bila mafanikio yoyote na hivyo kulikosa donge nono!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment