Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Monday, April 19, 2010

KIBAKA ANVYOKOSA KOSA KULA KIPONDO


Haya sasa mambo yanapokuwa si mambo pale unapokutwa live na mwenye mali ukitaka kumuibia ukaanza kula kichapo na kwa bahati nzuri unapata msaada wa polisi kama hivi ambapo safari yako ya kituo cha polisi inakuwa rahisi!kijana pichani alijaribu au kuiba kiio cha gari moja halipo pichani ndipo mwenye gari alipotokea na kuanza kumuita mwizi nakula kichapo cha rasha rasha kabla ya kumvaa polisi kama anavyoonekana pichani

No comments:

Post a Comment