Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Saturday, April 17, 2010

angalizo kwa walaji wa 'chakula cha usiku'


Kondomu feki kiasi cha 70,000 zimekamatwa na kuteketezwa na mamlaka ya udhibiti wa viwango TBS na bosi mmoja wa taasisi hiyo Bw. Lazaro Msasalaga amesema nyenzo hizo za ngobni zilikamatwa bandarini Dar kutokea India baada ya kuagizwa na kampuni ya jijin i Dar iitwayo Generics & Specialities Company ambayo ilipigwa faini ya shilini milioni 3.5 kwa kuingiza bidhaa isiyofaa kwa matumizi ya binadamu pamoja na gharama za uteketezwaji wake.
Kondomu hizo, zinazokwenda kwa jina la 'Kama Sutra' zimetengenezwa na kampuni ya J.K Ansell Ltd ya Aurangabad, India, ambayo unadai kwenye gamba lake kwamba zimejaribiwa kielektroniki na kuridhisja viwango vya kimataifa vya ISO na kupewa namba ya uthibitisho 4074 of 2002.

No comments:

Post a Comment