Kijana huyu hivi karibuni alinaswa na kamera yetu makutano ya barabara ya Bibi Titi Mohamed na Maktaba jijini Dar akiwa ameuchapa usingizi mzito kama anavyoonekana pichani. Hata hivyo haikufahamika mara moja sababu iliyomfanya kuuchapa usingizi eneo hilo.
No comments:
Post a Comment