Hili ndio jengo lenyewe lililozinduliwa jana kama taswira ya picha inavyoonyesha na stage yake kwa mbele ambapo ndipo j martins atakapo warusha wadau wake na kwa mujibu wa ratiba niliyopata kuwa mambo yalirushwa live na kituo cha ITV NA CHANNEL 5 huku kiingilio kikiwa ni miguu yako tu hahahhahahah.
picha na kachero wa umbea.com
No comments:
Post a Comment