kama mnavyonijua wadau wangu kwa umbea jana mida ya juaa kali nilimbamba msanii huyu akimuunga mkono kijana huyu kwa kununua mkanda kwa ajili ya suruale yake ambalo ni jambo zuri kwa kuwajali vijana hawa wanaouza vitu vidogo vidogo big up sana brother mie nimekuunga mkono
No comments:
Post a Comment