Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Friday, April 30, 2010

power breakfast live kutoka kempinski


Kutoka kulia ni Kamishna wa Madini kutoka Wizara ya Nishati na Madini Dr Kafumu,Muongozaji wa Kipindi Sebastian Maganga,Barbra Hassan,Paul James pamoja na Gerald Hando wakiwa Live asubuhi ndani ya hoteli ya Kilimanjaro Kempinsk.

Fundi Mitambo mahiri wa Clouds FM Bwana Jakson akihakikisha kipindi cha Power Breakfast kinakwenda live bila matatizo asubuhi hii

Clouds Fm 88.4 kupitia kipindi chake cha Power Breakfast wakizungumza Live sasa hivi katika hoteli ya Kilimanjaro Kempinsk (Frame tree Lounge) na Kamishna wa madini kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Dr.D.P Kafumu ,kuhusiana na masuala mbalimbali yahusuyo sekta ya madini ikiwemo na sheria yetu mpya ya madini ambayo baadhi ya watu wamekuwa na walakini nayo

No comments:

Post a Comment