Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Friday, April 30, 2010

Mr Nice, Eti ni kweli Umefilisika??


Mmoja wa wanamuziki waliowahi kutesa sana na kutengeneza hela kwa hali ya juu Bongo Lucas Mkenda a.k.a Mr Nice ameibuka na kujibu tuhuma za kuambiwa kuwa amefilisika

“Mimi sijafulia bado niko juu kisanaa na muziki wangu haujachuja hata siku moja, hivyo watu wanaodai nimefulia pengine hawafahamu mipango yangu,” alianza kwa kujitetea alipokuwa anazungumza na Dar41.

“Hili suala la kufulia,limetoka wapi na nini maana ya mtu kufulia sioni sababu ya watu kusema nimefulia, sijafulia hao wanaosema hivyo wanasababu zao.”

“Huwezi kusema kuwa nimefulia kimuziki ama kifedha wakati aina ya muziki wangu hakuna mtu anaweza kuiga wala kuifanya bado niko mwenyewe na matoleo niliyoyatoa bado yanafanya vizuri sokoni.

“Kama kukaa kimya bila kutoa albamu mpya au kupanda jukwaani ama kutonyesha uwezo wako kifedha ndiyo maana ya kufulia basi mimi sijafulia tena niko juu zaidi.”

“Kuna watu waliofulia tunawafahamu na hatuwezi kuwasema walianza muziki kwa mbwembwe na baadaye wakakwama ghafla na hii ilitokana na kubebwa bebwa tu na baadhi ya watu kwa sababu ya faida za wachache lakini sio kweli kwamba wanauwezo mkubwa kisanaa.

“Baada ya kutoa visingo vyao ama albam zao za kuunga unga wakajiona masikio yanazidi kichwa na walipo achwa ili waonyeshe uwezo wao wenyewe wakashindwa hao ndiyo waliofulia sio mimi bwana mi niko juu sana.

“Ingawa kila msanii ana mipango yake kuhusu muziki ila mimi mipango yangu ni ya kimataifa zaidi na kamwe mtu hawezi kufahamu ninachofikiria katika suala zima la muziki ndiyo maana baadhi ya watu wanajaribu kutafuta maneno ya kusema juu yangu lakini ukweli ni kwamba mimi ni zaidi ya wanavyofikiria.”

“Ingawa ni vigumu kukataza watu wasiseme yale wanachofikiria lakini masuala mengine yanakera kuona mtu anasema mambo asiyokuwa na uhakika nayo. Kuthibitisha ninayoyasema nimepanua kazi yangu zaidi katika majukwaa ya kimataifa na hivi karibuni hilo litakuwa wazi.

“Mimi muziki kwangu ni kazi na ndiyo ajira yangu hivyo ni lazima niwe na malengo makubwa ili ninufaike katika maisha yangu yote kwa sababu nimebaini kuwa ni kazi pekee inayonifaa na kunipa mafanikio makubwa ndani na nje ya nchi.

9 comments:

  1. I'm amazed, I must say. Seldom do I encounter a blog that's equally educative and engaging,
    and without a doubt, you have hit the nail on the head.
    The problem is something which too few men and women are speaking intelligently about.

    Now i'm very happy I found this during my hunt for something concerning this.

    my site :: bmi chart male

    ReplyDelete
  2. I assumed naively However, it will be easier for you to use these codes with other vehicle rental association, once you show up at your destination.
    Sampo Terho: Tukipaketit eiv�t ole auttaneet velkaantuneita maita PohjalainenEkonomistien pelko: Mink�laisia veroja
    talletuksille viel� tulee?

    Here is my blog :: car rental paphos airport reviews

    ReplyDelete
  3. Αhaа, its nice dialogue οn the topіc of this paгagrаph at this plaсe at
    this blog, Ι hаѵe read all that, so noω me alѕо commenting here.


    Here іs my blog http://article-crash.info

    ReplyDelete
  4. Ι hаvе been broωѕing on-line
    greatеr thаn 3 hours as of lаte, уet I by nο
    means found any intereѕtіng article like уours.
    It iѕ рretty ρrice enough for me.
    In my νіew, іf all webmasters and
    bloggeгs made gooԁ content materiаl аs yοu pгobably diԁ, the іnternet will pгоbablу be a lοt more useful than evег beforе.


    mу blog; Авиабилеты стоимость сочи-москва

    ReplyDelete
  5. I am not positivе thе plaсe уou аre getting your іnformatіon, but
    good topic. I must spеnd a while learning muсh more or working оut more.
    Thank уou for exсellent іnformation I
    was in seаrch of thiѕ information for my miѕsion.



    Mу ωeb site бронирование авиабилетов

    ReplyDelete
  6. Hi, eveгythіng іs going well heгe and ofcourse eveгy one iѕ sharіng infοrmation, that's truly good, keep up writing.

    Here is my web blog: technorati.com

    ReplyDelete
  7. Very nice post. I just stumbled upon your blog and wanted
    to say that I've really enjoyed browsing your blog posts. In any case I'll be subscribing to your feed and I hope you write again very
    soon!

    my blog post: austria

    ReplyDelete