Habari mbalimbali toka pande za bongo bila kusahau matukio mbalimbali yanayorindima pande zote za dunia
Psquare Ft. J.Martins- E No Easy
Thursday, March 18, 2010
AFANDE ACHUNIA RUSHWA YA DOLA 3000, AZAWADIWA SH 4,000,000
skari namba E. 7235 PC John Anthony Mwesongo wa kituo cha polisi cha Polisi Kiwanja cha ndege cha Mwalimu Julius Nyerere ambaye ni mtunza vielelezo wa kituo hicho, akionyesha hundi ya T. Sh. 4,000,000 motisha baada ya kukataa rushwa ya dola za kimarekani 3,000 na watu waliokamatwa na madawa ya kulevya waliomtaka abadilishe vielelezo hivyo.
Hundi hiyo alikabidhiwa na Inpekta Jenerali wa Polisi (IGP), Saidi Mwema Jana (13/3/2010) katika ukumbi wa maofisa wa polisi Oysterbay Jijini Dar es Salaam. Hongera PC John Anthony Mwesongo.
Watoa hongo kuweni makini!!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment