Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Tuesday, March 30, 2010

KHAAA NI LAAANA AU MIUJIZA!


Kitu kikiwa kimeacha njia mchana wa leo hapa jijini dsm ikiwa ni siku chache tu baada ya lile lori lilipata ajali pale kibamba na kusababisha vifo vya watu kumi na moja!kwa ushauri wa bure tu madereva hata kama tunaamini magari yetu kwa kiasi kikubwa hatuna budi kufuata sheria za barabarani ili kuepukana na matatizo ya hapa na pale ikiwemo kusababisha ajali nk! picha na inno lyimo!

No comments:

Post a Comment