Habari mbalimbali toka pande za bongo bila kusahau matukio mbalimbali yanayorindima pande zote za dunia
Psquare Ft. J.Martins- E No Easy
Tuesday, March 9, 2010
MTZ AWAKA NA FILAMU MAREKANI
Tulishazoea kumtaja Kanumba kama mtanzania wa kwanza kufanya kazi ya filamu na wanigeria kumbe kuna wengine
Ni mwanadada ambaye ni mwanamitindo aishie Marekani Cynthia Masasi ndo aliyepokea kijiti kwa kuigiza na manguli kadhaa kutoka Nigeria
Cynthia anarekodi filamu iyo inayoitwa Rebound na muigizaji Desmod na Van Vicker ambaye ni mghana
Mbali na filamu hii Cynthia anasema alishashoot nyengine iitwayo Severed Inn ambayo alishoot New York na nyengine atashoot na Van Vicker hivi karibu.
Hongera Cynthia endeleza gurudumu la kuiwakilisha Tz.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment