Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Thursday, March 11, 2010

HAHAHHA MAMBO YETU YALEEEEEEEEEEE!


Msanii wa muziki wa kizazi kipya Rehema Chalamila a.k.a Ray C akiwa amepozi na anayedaiwa kuwa ndiye wake wa moyoni,ambaye pia ni msanii wa muziki wa kizazi kipya Hip hop hapa bongo,Lord Eyez,Wote wakiwa katika sura za kusmile.Safi Lord Eyez kaa humo.! kama wasemavyo vijana wa mjengoni
Picha na inno lyimo!

No comments:

Post a Comment