Habari mbalimbali toka pande za bongo bila kusahau matukio mbalimbali yanayorindima pande zote za dunia
Psquare Ft. J.Martins- E No Easy
Wednesday, March 10, 2010
NYUMBA YA MBUNGE YAUNGUA MOTO!
Mbunge wa Lupa CCM wilayani Chunya, Victor Mwambalaswa
Nyumba ya Mheshimiwa Victor Mwamalaswa, Mbunge wa jimbo la Lupa, Chunya Mkoani Mbeya, imenusurika kuteketea kwa moto usiku kuamkia leo huu baada ya Kikosi cha Zima Moto kufika mapema na kuudhibiti moto huo ambao chanzo chake hakikuweza kujulikana mara moja. Eneo la tukio, ambalo liko maeneo ya Kinondoni maeneo ya Leaders Club jirani na Ubalozi wa India, kulitawaliwa na majonzi na vilio kwa mama wa familia ambaye alikuwa akimshukuru Mungu kwa kumuepusha na janga hilo ambalo liliepushwa kwa kiasi kikiubwa na majirani wachahche waliokuwepo kwa kutoa msaada wa hapa na pale, ikiwemo kuwaita zimamoto...uongozi mzima wa UMBEA.COM unawapa pole.
..sehemu ya ndani ya nyumba baada ya moto kuzimwa
Na mwandishi wetu dsm!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
On behalf of the Mwambalaswa family, I'd like to extent my heartfelt "thank you" for the well wishes.
ReplyDeletegoyard
ReplyDeleteyeezy shoes
curry 7
westbrook shoes
hermes belt
curry 7 shoes
christian louboutin shoes
golden goose
yeezy boost 350 v2
kyrie irving shoes