Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Wednesday, March 17, 2010

KUMBE PENDO ALIKUWA NA MIMBA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


Mpenzi wa Madee aliyefariki juzi na kuzika jana kule kwao Moshi kumbe amefariki akiwa na mimba ya miezi miwili tumboni. Madee ameniambia hivyo baada yakunipa shukrani zake kwa watu wote waliokuwa na yeye kwa kipindi hiki chote,

Napenda kuchukua nafasi hii kukushukuru ndugu jamaa na marafiki zangu kwa kujitolea kwao kwa hali na mali katika wakati mgumu niliokua nao. Nashukuru kwa ukaribu wenu kwangu na kunitia moyo sana nakuombea uwe na moyo uwo kila siku.
Tumuombeeni Pendo wangu alale pema pepon, mimi nilimpenda but mungu kampenda zaidi.
Madee.
NA INNO LYIMO

No comments:

Post a Comment