Mh.Mohammed Dewji.
Mh.Mohammed Dewji Mbunge wa Singida mjini,ameondoka Dar es Salaam jana,kuelekea Mkoani Mwanza kwa ajili ya Sherehe za Kumsimika Ukamanda Mbunge wa jimbo Busega,Mh.Raphael Chegeni,Sherehe hizo zitafanyika katika Wilaya ya Magu,Mkoani Mwanza,Mh Dewji pia atashiriki katika Harambee ya Amani SACCOS katika kijiji cha Lamadi jimbo la Busega.
No comments:
Post a Comment