Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Wednesday, March 31, 2010

Tbl yaimwagia mashindano ya kili taifa cup mili 850


Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Tanzania Breweriers Limited (TBL)David Minja akiongea mbele ya wanahabari leo wakati kampuni hiyo ilipotangaza udhamini wa jumla ya milioni 850 kwa ajili ya mashindano ya Kili Taifa Cup yanayotarajiwa kuanza mei 8 aprili mwaka huu.


Davidi Minja amesema vituo sita vitatumika katika mashindano hayo ambavyo ni Arusha, Mtwara, Tanga, Iringa, Mwanza na Dodoma, robo fainali za mashindano hayo zitafanyika kuanzania aprili 22 na fainali zitafanyika aprili 30 mwaka 2010.


Wengine wanaoonekana katika picha kushoto ni Ferdrick Mwakalebela Katibu mkuu wa Shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF na kulia ni George Kavishe Meneja wa bia ya Kilimanjaro ambayo ndiyo inadhamini mashindano hayo.

No comments:

Post a Comment