Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Friday, March 19, 2010

JAMANI MAANDALIZI YA MOVIE YA HITAJI MOYO MMMMM JIONEE MWENYEWE


Aunty na The great katika moja ya scene za kifamilia zaidi,katika movie hii Aunty kaonesha mabadiliko makubwa sana tofauti na mwanzo,kiwango ni kikubwa zaidi ya mwanzo maana nimeshafanya nae kazi nyingi kama Fake smile,Village paster,Unfortunate love n.k.

VITUKO LOCATION wakati tuko ndani tunashoot Mzee Magali yuko nje anacheza na paka.

Hakika hii ilikuwa burudani ya aina yake maeneo tunayofanyia shooting ya movie yangu kwa siku ya leo.

Mzee Magali akicheza nae bila wasiwasi

hahahah hapa cjui anaongea na nani au paka mtu!

Picha zote kwa hisani ya kanumba blogu.umbea .com yawatakia kila la heri katika filamu hiyo!

No comments:

Post a Comment